Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Wamisri hakika watajua kwamba mimi ni Yehova wakati ambapo nitaunyoosha mkono wangu juu ya Misri,+ nami kwa kweli nitawatoa wana wa Israeli kutoka katikati yao.”+

  • Kutoka 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Naye akajibu: “Kesho.” Basi akasema: “Itakuwa kulingana na neno lako, ili ujue kwamba hakuna mwingine yeyote aliye kama Yehova Mungu wetu,+

  • 1 Samweli 17:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Leo Yehova atakutia mkononi mwangu,+ nami hakika nitakupiga na kukiondoa kichwa chako juu yako; nami leo nitawapa ndege wa mbinguni na wanyama-mwitu wa dunia mizoga ya kambi ya Wafilisti;+ na watu wa dunia yote watajua kwamba kuna Mungu aliye wa Israeli.+

  • 1 Wafalme 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kisha yule mtu wa Mungu wa kweli+ akakaribia na kumwambia mfalme wa Israeli, naam, akasema: “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu Wasiria wamesema: “Yehova ni Mungu wa milima, wala si Mungu wa nchi tambarare za chini,” nitautia mkononi mwako umati huu wote mkubwa,+ nanyi mtajua hakika kwamba mimi ni Yehova.’”+

  • 2 Wafalme 19:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na sasa, Ee Yehova Mungu wetu,+ tafadhali, utuokoe+ kutoka mkononi mwake, ili falme zote za dunia zijue kwamba wewe, Ee Yehova, ndiye Mungu peke yako.”+

  • Ezekieli 34:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 ‘Nao watalazimika kujua kwamba mimi, Yehova Mungu wao, niko pamoja nao+ na kwamba wao ni watu wangu, nyumba ya Israeli,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.” ’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki