-
1 Wafalme 20:28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 Kisha yule mtu wa Mungu wa kweli+ akakaribia na kumwambia mfalme wa Israeli, naam, akasema: “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu Wasiria wamesema: “Yehova ni Mungu wa milima, wala si Mungu wa nchi tambarare za chini,” nitautia mkononi mwako umati huu wote mkubwa,+ nanyi mtajua hakika kwamba mimi ni Yehova.’”+
-