7 Lakini hakuna mbwa yeyote atakayeuchezesha ulimi wake kwa bidii dhidi ya yeyote wa wana wa Israeli, kuanzia mwanadamu hata mnyama;+ ili mpate kujua kwamba Yehova anaweza kufanyiza tofauti kati ya Wamisri na wana wa Israeli.’+
13 Na damu hiyo itakuwa ishara yenu juu ya nyumba mtakazokuwamo; nami nitaiona damu hiyo na kupita juu yenu,+ nalo pigo halitakuja juu yenu kama uharibifu ninapoipiga nchi ya Misri.