Mathayo 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+ Waroma 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa hiyo, kwa kuwa tumetangazwa kuwa waadilifu sasa kwa damu yake,+ tutaokolewa kutokana na ghadhabu+ kupitia yeye hata zaidi. Waebrania 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa imani alifanya sherehe ya pasaka+ na upakaji wa damu,+ ili mwangamizaji asiwaguse wazaliwa wao wa kwanza.+ 1 Yohana 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hata hivyo, ikiwa tunatembea katika nuru kama yeye mwenyewe alivyo katika nuru,+ tuna ushirika sisi kwa sisi,+ na damu+ ya Yesu Mwana wake hutusafisha+ kutoka katika dhambi yote.+
28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+
9 Kwa hiyo, kwa kuwa tumetangazwa kuwa waadilifu sasa kwa damu yake,+ tutaokolewa kutokana na ghadhabu+ kupitia yeye hata zaidi.
28 Kwa imani alifanya sherehe ya pasaka+ na upakaji wa damu,+ ili mwangamizaji asiwaguse wazaliwa wao wa kwanza.+
7 Hata hivyo, ikiwa tunatembea katika nuru kama yeye mwenyewe alivyo katika nuru,+ tuna ushirika sisi kwa sisi,+ na damu+ ya Yesu Mwana wake hutusafisha+ kutoka katika dhambi yote.+