Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+

  • Waroma 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa hiyo, kwa kuwa tumetangazwa kuwa waadilifu sasa kwa damu yake,+ tutaokolewa kutokana na ghadhabu+ kupitia yeye hata zaidi.

  • Waebrania 11:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa imani alifanya sherehe ya pasaka+ na upakaji wa damu,+ ili mwangamizaji asiwaguse wazaliwa wao wa kwanza.+

  • 1 Yohana 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hata hivyo, ikiwa tunatembea katika nuru kama yeye mwenyewe alivyo katika nuru,+ tuna ushirika sisi kwa sisi,+ na damu+ ya Yesu Mwana wake hutusafisha+ kutoka katika dhambi yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki