22 Na siku hiyo hakika nitaifanya nchi ya Gosheni ambapo watu wangu wanakaa iwe tofauti, kwamba inzi yeyote asiwe huko;+ ili upate kujua kwamba mimi ni Yehova katikati ya dunia.+
13 Na damu hiyo itakuwa ishara yenu juu ya nyumba mtakazokuwamo; nami nitaiona damu hiyo na kupita juu yenu,+ nalo pigo halitakuja juu yenu kama uharibifu ninapoipiga nchi ya Misri.