22 Na siku hiyo hakika nitaifanya nchi ya Gosheni ambapo watu wangu wanakaa iwe tofauti, kwamba inzi yeyote asiwe huko;+ ili upate kujua kwamba mimi ni Yehova katikati ya dunia.+
6 Basi Yehova akafanya jambo hilo siku iliyofuata, na aina zote za mifugo ya Wamisri zikaanza kufa;+ lakini hakuna mnyama yeyote kati ya mifugo ya wana wa Israeli aliyekufa.