22 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Nyoosha mkono+ wako kuelekea mbinguni, ili mvua ya mawe+ ipate kunyesha juu ya nchi yote ya Misri, juu ya mwanadamu na mnyama na mimea yote ya shambani katika nchi ya Misri.”
12 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Unyooshe+ mkono wako juu ya nchi ya Misri kwa ajili ya nzige, ili waje juu ya nchi ya Misri na kula mimea yote ya nchi, kila kitu ambacho ile mvua ya mawe iliacha.”+
21 Sasa Musa akanyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaanza kuifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wenye nguvu wa mashariki usiku kucha na kuligeuza bonde la bahari liwe nchi kavu,+ nayo maji yalikuwa yakitenganishwa.+