Danieli 4:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Basi mimi, Nebukadneza, namsifu na kumkweza na kumtukuza Mfalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni kweli na njia zake ni haki,+ na kwa sababu wale wanaotembea kwa kiburi yeye anaweza kuwafedhehesha.”+
37 “Basi mimi, Nebukadneza, namsifu na kumkweza na kumtukuza Mfalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni kweli na njia zake ni haki,+ na kwa sababu wale wanaotembea kwa kiburi yeye anaweza kuwafedhehesha.”+