Zaburi 107:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Lakini humlinda maskini kutokana na mateso+Na kumgeuza kuwa familia nyingi kama kundi.+ Zaburi 127:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tazama! Wana ni urithi kutoka kwa Yehova;+Uzao wa tumbo ni thawabu.+