Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 105:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Akaiacha mioyo yao ibadilike ili kuwachukia watu wake,+

      Ili wajiendeshe kwa ujanja juu ya watumishi wake.+

  • Mathayo 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndipo Herode, alipoona ameshindwa akili na wale wanajimu, akaingiwa na ghadhabu kubwa, akatuma watu na kuagiza wavulana wote katika Bethlehemu na katika wilaya zake zote wauawe, kuanzia umri wa miaka miwili kwenda chini, kulingana na wakati aliokuwa amehakikisha kwa uangalifu kutoka kwa wale wanajimu.+

  • Matendo 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Huyo akatumia hila ya serikali juu ya jamii+ yetu na kulazimisha kimakosa akina baba wawatupe watoto wao wachanga, ili wasihifadhiwe hai.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki