Kutoka 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwishowe Farao akawaita Musa na Haruni na kusema: “Msihi Yehova+ ili awaondoe vyura hawa kutoka kwangu na kwa watu wangu, kwa maana nataka kuwaruhusu watu waende zao, wakamtolee Yehova dhabihu.”+ Kutoka 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na sasa mnisamehe,+ tafadhali, dhambi yangu mara hii moja tu na kumsihi+ Yehova Mungu wenu apate kuniondolea pigo hili lenye kufisha.” Matendo 8:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Simoni akajibu akasema: “Ninyi, mwombeni Yehova dua+ kwa ajili yangu ili hata moja kati ya mambo mliyosema lisinipate.”
8 Mwishowe Farao akawaita Musa na Haruni na kusema: “Msihi Yehova+ ili awaondoe vyura hawa kutoka kwangu na kwa watu wangu, kwa maana nataka kuwaruhusu watu waende zao, wakamtolee Yehova dhabihu.”+
17 Na sasa mnisamehe,+ tafadhali, dhambi yangu mara hii moja tu na kumsihi+ Yehova Mungu wenu apate kuniondolea pigo hili lenye kufisha.”
24 Simoni akajibu akasema: “Ninyi, mwombeni Yehova dua+ kwa ajili yangu ili hata moja kati ya mambo mliyosema lisinipate.”