Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini sasa mrudishe mke wa huyo mwanamume, kwa maana yeye ni nabii,+ naye atakuombea dua.+ Kwa hiyo uendelee kuishi. Lakini ikiwa humrudishi, jua kwamba utakufa hakika, wewe na wote walio wako.”+

  • Kutoka 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na sasa mnisamehe,+ tafadhali, dhambi yangu mara hii moja tu na kumsihi+ Yehova Mungu wenu apate kuniondolea pigo hili lenye kufisha.”

  • Hesabu 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mwishowe watu wakamjia Musa na kusema: “Tumetenda dhambi,+ kwa sababu tumesema dhidi ya Yehova na dhidi yako. Tutetee kwa Yehova awaondoe nyoka hawa juu yetu.”+ Naye Musa akawatetea watu.+

  • 1 Wafalme 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo mfalme akajibu na kumwambia yule mtu wa Mungu wa kweli: “Tafadhali, utulize uso wa Yehova Mungu wako, na kusali kwa ajili yangu ili nirudishiwe mkono wangu.”+ Basi yule mtu wa Mungu wa kweli akautuliza+ uso wa Yehova hivi kwamba mkono wa mfalme ukarudishwa kwake, nao ukawa kama pale mwanzoni.+

  • Matendo 8:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Simoni akajibu akasema: “Ninyi, mwombeni Yehova dua+ kwa ajili yangu ili hata moja kati ya mambo mliyosema lisinipate.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki