29 Ndipo Musa akasema: “Tazama, naondoka kwako, nami kwa kweli nitamsihi Yehova, na hakika mainzi wataondoka kwa Farao, kwa watumishi wake na kwa watu wake kesho. Ila Farao asifanye mchezo tena kwa kukataa kuwaruhusu watu waende zao kumtolea Yehova dhabihu.”+
31 Ndipo akamwita+ Musa na Haruni mara moja wakati wa usiku na kusema: “Simameni, tokeni kati ya watu wangu, ninyi na wale wana wengine wa Israeli, na mwende, mkamtumikie Yehova, kama mlivyosema.+