Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Farao alipoona kwamba kitulizo kilikuwa kimetokea, akaufanya moyo wake uwe mgumu;+ naye hakuwasikiliza wao, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.+

  • Kutoka 8:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ndipo Musa akasema: “Tazama, naondoka kwako, nami kwa kweli nitamsihi Yehova, na hakika mainzi wataondoka kwa Farao, kwa watumishi wake na kwa watu wake kesho. Ila Farao asifanye mchezo tena kwa kukataa kuwaruhusu watu waende zao kumtolea Yehova dhabihu.”+

  • Kutoka 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa hiyo Musa na Haruni wakarudishwa kwa Farao, naye akawaambia: “Nendeni, mkamtumikie Yehova Mungu wenu.+ Ni nani hasa wanaoenda?”

  • Kutoka 12:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Ndipo akamwita+ Musa na Haruni mara moja wakati wa usiku na kusema: “Simameni, tokeni kati ya watu wangu, ninyi na wale wana wengine wa Israeli, na mwende, mkamtumikie Yehova, kama mlivyosema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki