28 Farao sasa akasema: “Mimi—mimi nitawaruhusu mwende zenu,+ nanyi kwa kweli mtamtolea dhabihu Yehova Mungu wenu nyikani.+ Ila tu msiende mbali sana. Sihi kwa ajili yangu.”+
28 Msihi Yehova ili mingurumo hii ya Mungu na mvua yake ya mawe+ ziishie hapo. Ndipo nitakuwa tayari kuwaruhusu mwende zenu, nanyi hamtaendelea kukaa zaidi.”