Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mwishowe Farao akawaita Musa na Haruni na kusema: “Msihi Yehova+ ili awaondoe vyura hawa kutoka kwangu na kwa watu wangu, kwa maana nataka kuwaruhusu watu waende zao, wakamtolee Yehova dhabihu.”+

  • Kutoka 9:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Msihi Yehova ili mingurumo hii ya Mungu na mvua yake ya mawe+ ziishie hapo. Ndipo nitakuwa tayari kuwaruhusu mwende zenu, nanyi hamtaendelea kukaa zaidi.”

  • 1 Samweli 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na watu wote wakaanza kumwambia Samweli: “Sali+ kwa Yehova Mungu wako kwa ajili ya watumishi wako, kwa maana hatutaki kufa; kwa sababu tumeongeza uovu juu ya dhambi zetu zote kwa kujiombea mfalme.”

  • Matendo 8:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Simoni akajibu akasema: “Ninyi, mwombeni Yehova dua+ kwa ajili yangu ili hata moja kati ya mambo mliyosema lisinipate.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki