13 Naye akaanza kumwambia Abramu: “Ujue hakika kwamba uzao wako utakuwa mkaaji mgeni katika nchi isiyokuwa yao,+ nao watawatumikia watu wale, nao watawatesa kwa miaka mia nne.+
6 Zaidi ya hayo, Mungu alisema hivi, kwamba uzao wake ungekuwa wakaaji wageni+ katika nchi ya kigeni+ na watu hao wangewafanya watumwa na kuwatesa kwa miaka mia nne.+
17 Zaidi, mimi nasema hivi: Kuhusu agano lililohalalishwa na Mungu+ hapo kwanza, Sheria ambayo imekuja kuwapo miaka 430+ baadaye hailitangui, ili kuifuta ahadi.+