Kutoka 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Musa na Haruni wakafanya kama vile Yehova alivyokuwa amewaamuru.+ Walifanya vivyo hivyo.+ Kutoka 39:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Basi kazi ya ile maskani ya hema la mkutano ikafikia mwisho wake, kwa maana wana wa Israeli waliendelea kufanya kulingana na yote ambayo Yehova alikuwa amemwamuru Musa.+ Walifanya vivyo hivyo. Kumbukumbu la Torati 12:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kila neno ninalowaamuru ninyi ndilo mtakalokuwa waangalifu kulifanya.+ Msiongeze juu yake wala kuondoa kutoka kwake.+
32 Basi kazi ya ile maskani ya hema la mkutano ikafikia mwisho wake, kwa maana wana wa Israeli waliendelea kufanya kulingana na yote ambayo Yehova alikuwa amemwamuru Musa.+ Walifanya vivyo hivyo.
32 Kila neno ninalowaamuru ninyi ndilo mtakalokuwa waangalifu kulifanya.+ Msiongeze juu yake wala kuondoa kutoka kwake.+