15 Siku saba mtakula keki zisizo na chachu. Ndiyo, siku ya kwanza mtaondoa unga uliokandwa wenye chachu kutoka katika nyumba zenu, kwa sababu mtu yeyote anayekula kitu kilicho na chachu, kuanzia siku ya kwanza mpaka siku ya saba,+ nafsi hiyo itakatiliwa mbali kutoka katika Israeli.+