Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Siku saba mtakula keki zisizo na chachu. Ndiyo, siku ya kwanza mtaondoa unga uliokandwa wenye chachu kutoka katika nyumba zenu, kwa sababu mtu yeyote anayekula kitu kilicho na chachu, kuanzia siku ya kwanza mpaka siku ya saba,+ nafsi hiyo itakatiliwa mbali kutoka katika Israeli.+

  • Kutoka 34:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Sherehe ya keki zisizo na chachu utaishika.+ Utakula keki zisizo na chachu, kama vile nilivyokuamuru, siku saba kwenye ule wakati uliowekwa katika mwezi wa Abibu,+ kwa sababu ni katika mwezi wa Abibu kwamba ulitoka Misri.

  • 1 Wakorintho 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa hiyo na tufanye sherehe,+ si kwa chachu+ ya zamani, wala si kwa chachu+ ya ubaya na uovu,+ bali kwa keki zisizo na chachu za unyoofu na kweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki