Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 24:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini alikuwa amewaambia wale wanaume wazee: “Ninyi tungojeeni mahali hapa mpaka turudi kwenu.+ Na, tazama! Haruni na Huru+ wako pamoja nanyi. Yeyote aliye na kesi, na awaendee.”+

  • Kumbukumbu la Torati 17:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Ikiwa jambo la uamuzi wa hukumu litakuwa lisilo la kawaida kwako,+ ambamo damu imemwagwa,+ ambamo dai halali limezushwa,+ au tendo lenye jeuri limefanywa, mambo ya mzozo,+ ndani ya malango yako, utaondoka pia na kwenda mahali ambapo Yehova Mungu wako atapachagua,+

  • 1 Wakorintho 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Je, yeyote kati yenu aliye na kesi+ juu ya mwingine anathubutu kwenda mahakamani mbele ya watu wasio waadilifu,+ na si mbele ya watakatifu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki