Hesabu 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mimi siwezi, mimi peke yangu, kuwabeba watu wote hawa, kwa sababu ni wazito mno kwangu.+ Kumbukumbu la Torati 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Nami nikawaambia hivi wakati huo, ‘Mimi peke yangu siwezi kuwabeba ninyi.+ Matendo 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo wale kumi na wawili wakauita umati wa wanafunzi na kusema: “Si vyema sisi kuliacha neno la Mungu ili kugawa chakula mezani.+
2 Kwa hiyo wale kumi na wawili wakauita umati wa wanafunzi na kusema: “Si vyema sisi kuliacha neno la Mungu ili kugawa chakula mezani.+