Kutoka 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Utachoka, wewe na watu hawa walio pamoja nawe, kwa sababu shughuli hii ni mzigo mkubwa mno kwako.+ Wewe huwezi kuifanya peke yako.+ Kumbukumbu la Torati 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Nami nikawaambia hivi wakati huo, ‘Mimi peke yangu siwezi kuwabeba ninyi.+
18 Utachoka, wewe na watu hawa walio pamoja nawe, kwa sababu shughuli hii ni mzigo mkubwa mno kwako.+ Wewe huwezi kuifanya peke yako.+