Zaburi 139:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Macho yako yalikiona kiini-tete changu,+Na katika kitabu chako sehemu zake zote zilikuwa zimeandikwa,Kuhusiana na siku ambazo zilifanyizwa+Na hakukuwako hata moja kati ya hizo. Yeremia 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kabla sijaanza kukuumba ndani ya tumbo+ nilikujua,+ na kabla hujatoka ndani ya tumbo la uzazi nilikutakasa.+ Nilikufanya uwe nabii kwa mataifa.”
16 Macho yako yalikiona kiini-tete changu,+Na katika kitabu chako sehemu zake zote zilikuwa zimeandikwa,Kuhusiana na siku ambazo zilifanyizwa+Na hakukuwako hata moja kati ya hizo.
5 “Kabla sijaanza kukuumba ndani ya tumbo+ nilikujua,+ na kabla hujatoka ndani ya tumbo la uzazi nilikutakasa.+ Nilikufanya uwe nabii kwa mataifa.”