Mambo ya Walawi 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na mtu yeyote kati yenu asimkosee mwenzake,+ nawe umwogope Mungu wako,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.+ Mathayo 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Kwa hiyo, mambo yote mnayotaka watu wawatendee ninyi,+ lazima mwatendee wao pia vivyo hivyo; hii, kwa kweli, ndiyo maana ya Sheria na Manabii.+
17 Na mtu yeyote kati yenu asimkosee mwenzake,+ nawe umwogope Mungu wako,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.+
12 “Kwa hiyo, mambo yote mnayotaka watu wawatendee ninyi,+ lazima mwatendee wao pia vivyo hivyo; hii, kwa kweli, ndiyo maana ya Sheria na Manabii.+