Methali 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ikiwa mtu anayekuchukia ana njaa, mpe mkate ale; na ikiwa ana kiu, mpe maji anywe.+ 1 Wathesalonike 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Angalieni kwamba mtu asimlipe mwingine yeyote ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote fuatilieni yaliyo mema kuelekea mtu na mwenzake na kwa wengine wote.+
15 Angalieni kwamba mtu asimlipe mwingine yeyote ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote fuatilieni yaliyo mema kuelekea mtu na mwenzake na kwa wengine wote.+