25 Nanyi mtatofautisha mnyama aliye safi na asiye safi na kutofautisha ndege aliye safi na asiye safi;+ nanyi msizifanye nafsi zenu kuwa zenye kuchukiza+ kupitia mnyama na ndege na kitu chochote ambacho hutembea juu ya nchi ambacho nimekitenga kwa ajili yenu kwa kuvitangaza kuwa si safi.
7 Aina hii tu ndiyo ambayo hampaswi kula kati ya wale wanaocheua au wenye ukwato uliopasuka, wenye mwatuko: ngamia+ na sungura+ na wibari,+ kwa sababu hao hucheua lakini hawana ukwato uliopasuka. Hao si safi kwenu.