Kutoka 29:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nawe utachukua sehemu ya damu+ ya huyo ng’ombe-dume na kuiweka kwa kidole chako juu ya zile pembe za madhabahu,+ na damu yote inayobaki utaimimina chini ya madhabahu.+ Waebrania 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndiyo, karibu vitu vyote husafishwa kwa damu+ kulingana na Sheria, na damu isipomwagwa+ hakuna msamaha unaotokea.+
12 Nawe utachukua sehemu ya damu+ ya huyo ng’ombe-dume na kuiweka kwa kidole chako juu ya zile pembe za madhabahu,+ na damu yote inayobaki utaimimina chini ya madhabahu.+
22 Ndiyo, karibu vitu vyote husafishwa kwa damu+ kulingana na Sheria, na damu isipomwagwa+ hakuna msamaha unaotokea.+