Kutoka 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Unyooshe+ mkono wako juu ya nchi ya Misri kwa ajili ya nzige, ili waje juu ya nchi ya Misri na kula mimea yote ya nchi, kila kitu ambacho ile mvua ya mawe iliacha.”+ Methali 30:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 nzige+ hawana mfalme, hata hivyo wao huenda mbele wote wakiwa wamegawanywa vikundi-vikundi;+ Isaya 33:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na nyara+ yenu kwa kweli itakusanywa kama wakati mende wanapokusanyika, kama mmiminiko wa makundi ya nzige unaomiminika juu ya mtu.+
12 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Unyooshe+ mkono wako juu ya nchi ya Misri kwa ajili ya nzige, ili waje juu ya nchi ya Misri na kula mimea yote ya nchi, kila kitu ambacho ile mvua ya mawe iliacha.”+
4 Na nyara+ yenu kwa kweli itakusanywa kama wakati mende wanapokusanyika, kama mmiminiko wa makundi ya nzige unaomiminika juu ya mtu.+