Kutoka 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao nzige wakaanza kuja juu ya nchi yote ya Misri na kutua juu ya eneo lote la Misri.+ Walikuwa wenye kulemea sana.+ Kabla yao hawakuwa wametokea kamwe jinsi hiyo nzige wengine kama wao, wala hakutatokea wowote kamwe jinsi hiyo baada yao. Zaburi 105:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Akasema nzige waingie,+Na nzige wachanga, wasio na hesabu.+ Yoeli 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kilichoachwa na kiwavi, nzige amekula;+ kilichoachwa na nzige, nzige mchanga amekula; kilichoachwa na nzige mchanga, mende amekula.+
14 Nao nzige wakaanza kuja juu ya nchi yote ya Misri na kutua juu ya eneo lote la Misri.+ Walikuwa wenye kulemea sana.+ Kabla yao hawakuwa wametokea kamwe jinsi hiyo nzige wengine kama wao, wala hakutatokea wowote kamwe jinsi hiyo baada yao.
4 Kilichoachwa na kiwavi, nzige amekula;+ kilichoachwa na nzige, nzige mchanga amekula; kilichoachwa na nzige mchanga, mende amekula.+