Kutoka 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mara moja Musa akainyoosha fimbo yake juu ya nchi ya Misri, naye Yehova akafanya upepo wa mashariki+ uvume juu ya nchi siku hiyo yote na usiku wote. Asubuhi ikafika nao upepo wa mashariki ukawaleta hao nzige. Kumbukumbu la Torati 28:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Utapeleka mbegu nyingi shambani, lakini utakusanya chache,+ kwa sababu nzige wataimeza.+ Zaburi 78:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Naye akaanza kuwapa mende mazao yao,Na kazi yao ngumu akawapa nzige.+
13 Mara moja Musa akainyoosha fimbo yake juu ya nchi ya Misri, naye Yehova akafanya upepo wa mashariki+ uvume juu ya nchi siku hiyo yote na usiku wote. Asubuhi ikafika nao upepo wa mashariki ukawaleta hao nzige.