15 Nao wakaufunika uso unaoonekana wa nchi+ yote, nayo nchi ikawa na giza;+ nao wakawa wakila mimea yote ya nchi na matunda yote ya miti ambayo ile mvua ya mawe ilikuwa imeacha;+ wala hakikubaki chochote cha kijani kibichi juu ya miti wala juu ya mimea ya shambani katika nchi yote ya Misri.+
7Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova alinifanya nione, na, tazama! alikuwa akifanyiza kundi la nzige mwanzoni mwa kuota kwa mimea iliyopandwa baadaye.+ Na, tazama! ilikuwa mimea iliyopandwa baadaye baada ya majani yaliyofyekwa ya mfalme.