Yoeli 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Limefanya mzabibu wangu kuwa kitu cha kushangaza,+ na mtini wangu kuwa kisiki.+ Limeumenya na kuutupilia mbali.+ Matawi yake yamekuwa meupe. Yoeli 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mbele yake moto umeteketeza,+ na nyuma yake mwali wa moto huteketeza.+ Mbele yake nchi ni kama bustani ya Edeni;+ lakini nyuma yake ni nyika iliyo ukiwa, wala hakuna chochote kinachoponyoka.
7 Limefanya mzabibu wangu kuwa kitu cha kushangaza,+ na mtini wangu kuwa kisiki.+ Limeumenya na kuutupilia mbali.+ Matawi yake yamekuwa meupe.
3 Mbele yake moto umeteketeza,+ na nyuma yake mwali wa moto huteketeza.+ Mbele yake nchi ni kama bustani ya Edeni;+ lakini nyuma yake ni nyika iliyo ukiwa, wala hakuna chochote kinachoponyoka.