Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na watu wakaenda na kuipora+ kambi ya Wasiria; basi kipimo kimoja cha sea cha unga laini kikawa na thamani ya shekeli moja, na vipimo viwili vya sea vya shayiri vikawa na thamani ya shekeli moja, kulingana na lile neno+ la Yehova.

  • 2 Mambo ya Nyakati 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na Asa na watu waliokuwa pamoja naye wakaendelea kuwafuatilia mpaka Gerari,+ na walio wa Waethiopia wakaendelea kuanguka mpaka wakati ambapo hapakuwa na yeyote aliye hai kati yao; kwa maana walivunjwa vipande-vipande mbele za Yehova+ na mbele ya jeshi lake.+ Baadaye wakachukua kiasi kikubwa sana cha nyara.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Basi Yehoshafati na watu wake wakaja kupora nyara+ walizokuwa nazo, na katika nyara hizo wakakuta kwa wingi mali na mavazi na vyombo vyenye kutamanika; nao wakaendelea kuwavua mpaka waliposhindwa kuchukua zaidi.+ Nao wakapora nyara kwa siku tatu, kwa maana zilikuwa nyingi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki