2 Lakini Daudi akaliondoa taji la Malkamu kutoka juu ya kichwa chake,+ naye akakuta likiwa na uzito wa talanta moja ya dhahabu, na ndani yake mlikuwa na mawe ya thamani; nalo likaja kuwa juu ya kichwa cha Daudi. Na nyara za jiji lile ambazo alileta zilikuwa nyingi sana.+