Luka 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akamwagiza mtu huyo asimwambie mtu yeyote:+ “Lakini nenda zako, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na kutoa toleo+ la kutakaswa kwako, sawa na vile Musa alivyoamuru, ili kuwa ushahidi kwao.”+ Luka 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye alipowaona akawaambia: “Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.”+ Basi walipokuwa wakienda zao wakatakaswa.+
14 Naye akamwagiza mtu huyo asimwambie mtu yeyote:+ “Lakini nenda zako, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na kutoa toleo+ la kutakaswa kwako, sawa na vile Musa alivyoamuru, ili kuwa ushahidi kwao.”+
14 Naye alipowaona akawaambia: “Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.”+ Basi walipokuwa wakienda zao wakatakaswa.+