53 “Lakini ikiwa kuhani anatazama, na, tazama sasa, pigo hilo halijaenea katika vazi au katika mtande au katika mshindio au katika chombo chochote cha ngozi,+
22 Pia, hakuna mtu anayeweka divai mpya ndani ya viriba vya divai vilivyozeeka; akifanya hivyo, divai hupasua ngozi ya viriba hivyo, na divai hupotea na vilevile ngozi.+ Bali watu huweka divai mpya ndani ya viriba vipya vya divai.”+