Luka 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa sababu hiyo akajibu, akawaambia hao wawili: “Nendeni,+ mkamwambie Yohana yale mliyoona na kusikia: vipofu+ wanaona, vilema wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa na viziwi wanasikia, na wafu wanafufuliwa, maskini wanaambiwa+ ile habari njema.+ Luka 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mmoja wao, alipoona amepona, akarudi, akimtukuza+ Mungu kwa sauti kubwa.
22 Kwa sababu hiyo akajibu, akawaambia hao wawili: “Nendeni,+ mkamwambie Yohana yale mliyoona na kusikia: vipofu+ wanaona, vilema wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa na viziwi wanasikia, na wafu wanafufuliwa, maskini wanaambiwa+ ile habari njema.+