Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na uniite katika siku ya taabu.+Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+ Zaburi 103:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 103 Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu,+Naam, kila kitu kilicho ndani yangu, na kilibariki jina lake takatifu.+
103 Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu,+Naam, kila kitu kilicho ndani yangu, na kilibariki jina lake takatifu.+