Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Na katika siku ya nane+ atachukua wana-kondoo dume wawili ambao hawana kasoro na mwana-kondoo jike mmoja ambaye hana kasoro,+ katika mwaka wake wa kwanza, na sehemu tatu za kumi za efa ya unga laini kuwa toleo la nafaka+ lililotiwa mafuta na logi moja ya mafuta;+

  • Mambo ya Walawi 14:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na mafuta yanayobaki yaliyo kwenye mkono wa kuhani atayatia kwenye kichwa cha yule anayejitakasa, naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yake mbele za Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki