Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 11:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na kila mtu anayebeba wowote kati ya mizoga yao atayafua+ mavazi yake, naye atakuwa asiye safi mpaka jioni.

  • Mambo ya Walawi 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Naye kuhani atamtazama katika siku ya saba mara ya pili, na ikiwa pigo limefifia nalo pigo halijaenea katika ngozi, kuhani atamtangaza pia kuwa safi. Lilikuwa kigaga. Naye atayafua mavazi yake na kuwa safi.

  • Mambo ya Walawi 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na mtu ambaye atagusa kitanda chake atayafua mavazi yake, naye ataoga katika maji na kuwa asiye safi mpaka jioni.+

  • Hesabu 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na hivi ndivyo unavyopaswa kuwafanyia ili kuwatakasa: Tapanya maji ya kutakasa dhambi juu yao,+ na wapitishe wembe juu ya mwili+ wao wote nao wayafue mavazi+ yao na kujitakasa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki