Mambo ya Walawi 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Sema na Haruni na wanawe, kwamba wajitenge na vitu vitakatifu vya wana wa Israeli nao wasilitie unajisi jina langu takatifu+ katika vitu ambavyo wananitakasia.+ Mimi ni Yehova. Mambo ya Walawi 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo hawatatia unajisi vitu vitakatifu vya wana wa Israeli, ambavyo huenda wakamchangia Yehova,+
2 “Sema na Haruni na wanawe, kwamba wajitenge na vitu vitakatifu vya wana wa Israeli nao wasilitie unajisi jina langu takatifu+ katika vitu ambavyo wananitakasia.+ Mimi ni Yehova.
15 Kwa hiyo hawatatia unajisi vitu vitakatifu vya wana wa Israeli, ambavyo huenda wakamchangia Yehova,+