Mwanzo 35:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi nafsi+ yake ilipokuwa ikitoka (kwa sababu alikufa)+ akamwita jina lake Ben-oni; lakini baba yake akamwita Benyamini.+ Zaburi 68:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Tazama Benyamini mdogo akiwatiisha,+Wakuu wa Yuda pamoja na umati wao unaopaaza sauti,Wakuu wa Zabuloni, wakuu wa Naftali.+
18 Basi nafsi+ yake ilipokuwa ikitoka (kwa sababu alikufa)+ akamwita jina lake Ben-oni; lakini baba yake akamwita Benyamini.+
27 Tazama Benyamini mdogo akiwatiisha,+Wakuu wa Yuda pamoja na umati wao unaopaaza sauti,Wakuu wa Zabuloni, wakuu wa Naftali.+