Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na itakuwa kwamba katika siku ya saba atanyoa nywele zake zote zilizo kichwani+ pake na kwenye kidevu chake na nyusi zake. Naam, atanyoa nywele zake zote, naye atayafua mavazi yake na kuoga mwili wake katika maji; naye atakuwa safi.

  • Hesabu 19:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mtu huyo anapaswa kujitakasa kwa maji hayo siku ya tatu,+ na siku ya saba atakuwa safi. Lakini ikiwa hatajitakasa siku ya tatu, basi siku ya saba hatakuwa safi.

  • Hesabu 31:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nanyi mpige kambi nje ya kambi siku saba. Kila mtu ambaye ameua nafsi+ na kila mtu ambaye amegusa mtu aliyeuawa,+ mtajitakasa+ katika siku ya tatu na katika siku ya saba, ninyi na mateka wenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki