Mwanzo 36:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi Esau akaanza kukaa katika eneo lenye milima la Seiri.+ Esau ni Edomu.+ Kumbukumbu la Torati 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nawe uwaamuru watu, na kusema: “Mnapita kando ya mpaka wa ndugu zenu,+ wana wa Esau,+ ambao wanakaa Seiri,+ nao wataogopa kwa sababu yenu,+ nanyi lazima muwe waangalifu sana. Kumbukumbu la Torati 23:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Usimchukie Mwedomu, kwa maana yeye ni ndugu yako.+ “Usimchukie Mmisri, kwa maana ulikuwa mkaaji mgeni katika nchi yake.+
4 Nawe uwaamuru watu, na kusema: “Mnapita kando ya mpaka wa ndugu zenu,+ wana wa Esau,+ ambao wanakaa Seiri,+ nao wataogopa kwa sababu yenu,+ nanyi lazima muwe waangalifu sana.
7 “Usimchukie Mwedomu, kwa maana yeye ni ndugu yako.+ “Usimchukie Mmisri, kwa maana ulikuwa mkaaji mgeni katika nchi yake.+