Hesabu 13:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Basi wakatembea na kuja kwa Musa na Haruni na kusanyiko lote la wana wa Israeli katika nyika ya Parani, huko Kadeshi.+ Nao wakaleta neno kwao na kwa kusanyiko lote na kuwaonyesha matunda ya nchi. Hesabu 33:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Baadaye wakaondoka Kadeshi, wakapiga kambi katika Mlima Hori,+ kwenye mpaka wa nchi ya Edomu.
26 Basi wakatembea na kuja kwa Musa na Haruni na kusanyiko lote la wana wa Israeli katika nyika ya Parani, huko Kadeshi.+ Nao wakaleta neno kwao na kwa kusanyiko lote na kuwaonyesha matunda ya nchi.