Hesabu 14:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Ndipo Waamaleki+ na Wakanaani waliokuwa wakikaa katika mlima huo wakashuka na kuanza kuwapiga nao wakawatawanya mpaka Horma.+ Waamuzi 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini Yuda akasonga mbele akiwa na Simeoni ndugu yake, nao wakawapiga Wakanaani waliokaa Sefathi na kuliharibu+ jiji. Basi jina la jiji hilo likaitwa Horma.+
45 Ndipo Waamaleki+ na Wakanaani waliokuwa wakikaa katika mlima huo wakashuka na kuanza kuwapiga nao wakawatawanya mpaka Horma.+
17 Lakini Yuda akasonga mbele akiwa na Simeoni ndugu yake, nao wakawapiga Wakanaani waliokaa Sefathi na kuliharibu+ jiji. Basi jina la jiji hilo likaitwa Horma.+