Hesabu 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 wa Asheri,+ Pagieli+ mwana wa Okrani; Hesabu 7:72 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 72 Katika siku ya kumi na moja kulikuwa na mkuu wa wana wa Asheri, Pagieli+ mwana wa Okrani. Hesabu 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na juu ya jeshi la kabila la wana wa Asheri+ kulikuwa na Pagieli+ mwana wa Okrani.