Hesabu 2:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na wale wanaopiga kambi kando yake ni kabila la Asheri, na mkuu wa wana wa Asheri ni Pagieli+ mwana wa Okrani. Hesabu 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na juu ya jeshi la kabila la wana wa Asheri+ kulikuwa na Pagieli+ mwana wa Okrani.
27 Na wale wanaopiga kambi kando yake ni kabila la Asheri, na mkuu wa wana wa Asheri ni Pagieli+ mwana wa Okrani.