Hesabu 22:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana hakika nitakuheshimu wewe sana,+ na kila kitu ambacho utaniambia nitafanya.+ Kwa hiyo njoo, tafadhali. Walaani watu hawa kwa ajili yangu.’” Hesabu 24:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi sasa kimbia uende kwako. Nilikuwa nimesema moyoni mwangu kwamba nitakuheshimu wewe,+ lakini, tazama! Yehova amekuzuilia usipate heshima.”
17 Kwa maana hakika nitakuheshimu wewe sana,+ na kila kitu ambacho utaniambia nitafanya.+ Kwa hiyo njoo, tafadhali. Walaani watu hawa kwa ajili yangu.’”
11 Basi sasa kimbia uende kwako. Nilikuwa nimesema moyoni mwangu kwamba nitakuheshimu wewe,+ lakini, tazama! Yehova amekuzuilia usipate heshima.”