17 Kwa maana hakika nitakuheshimu wewe sana,+ na kila kitu ambacho utaniambia nitafanya.+ Kwa hiyo njoo, tafadhali. Walaani watu hawa kwa ajili yangu.’”
11 Ole wao, kwa sababu wamekwenda katika pito la Kaini,+ nao wamekimbia kuingia katika mwendo wenye kosa wa Balaamu+ ili kupata thawabu, nao wameangamia katika maneno ya uasi+ ya Kora!+