Hesabu 24:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi sasa kimbia uende kwako. Nilikuwa nimesema moyoni mwangu kwamba nitakuheshimu wewe,+ lakini, tazama! Yehova amekuzuilia usipate heshima.” Methali 17:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mwovu atachukua hata rushwa kifuani+ ili kupotosha mapito ya hukumu.+
11 Basi sasa kimbia uende kwako. Nilikuwa nimesema moyoni mwangu kwamba nitakuheshimu wewe,+ lakini, tazama! Yehova amekuzuilia usipate heshima.”