Zaburi 37:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Mwangalie mtu asiye na lawama na uendelee kumwangalia mnyoofu,+Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa wenye amani.+ Zaburi 116:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ni chenye thamani machoni pa YehovaKifo cha washikamanifu wake.+ Methali 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumbukumbu la mwadilifu litabarikiwa,+ lakini jina la waovu litaoza.+
37 Mwangalie mtu asiye na lawama na uendelee kumwangalia mnyoofu,+Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa wenye amani.+